top of page
  • Whatsapp
  • LinkedIn
  • White Facebook Icon
  • White Instagram Icon
  • White Twitter Icon

Have any questions? Feel free to contact us:

A logo of Zanzibar National Chamber of Commerce ZNCC

Dkt. HUSSEIN ALI MWINYI RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI AKIPOKEA ZAWADI KUTOKA KWA MWENYEKITI WA ZNCC Bw. ALI AMOUR


Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) imefanikiwa kufanya mkutano wake mkuu wa 15 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip uwanja wa ndege Zanzibar. Mgeni rasmi Dkt. Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akipokea zawadi maalum kutoka kwa mwenyekiti wa ZNCC ndugu Ali Amour kwa niaaba ya Bodi ya Wakurugenzi ya ZNCC

bottom of page