ZNCC kwa niaba ya ZBS inakualika katika kikao cha pamoja na wafanyabiashara chenye lengo la kujenga uelewa wa Sharia ya Viwango na Kanuni zake, kitakachofanyika tarehe 28/03/2024, saa 3:00 asubuhi katika Ofisi Kuu za ZBS zilizopo Maruhubi, Zanzibar.
![](https://static.wixstatic.com/media/6b8996_bb5ad0dd09d142f3b6fe07b08f44b9c7~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_83,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/6b8996_bb5ad0dd09d142f3b6fe07b08f44b9c7~mv2.jpg)
Have any questions? Feel free to contact us:
ZNCC kwa niaba ya ZBS inakualika katika kikao cha pamoja na wafanyabiashara chenye lengo la kujenga uelewa wa Sharia ya Viwango na Kanuni zake, kitakachofanyika tarehe 28/03/2024, saa 3:00 asubuhi katika Ofisi Kuu za ZBS zilizopo Maruhubi, Zanzibar.